Thursday, 2 March 2017

MWL. NYERERE NA AZIMIO LA ARUSHA WANASEMA: Tangu sasa tutasimama wima na kutembea kwa miguu yetu


Tangu sasa tutasimama wima na kutembea kwa miguu yetu badala ya kupinduka na kuwa miguu juu vichwa chini. Viwanda vitakuja, na fedha zitakuja, lakini msingi wake ni WANANCHI na JUHUDI yao na hasa katika KILIMO. Hii ndiyo maana ya kujitegemea. Kwa hiyo basi, mkazo wetu na uwe:-

(a) Ardhi: Kwa kuwa uchumi wa Tanzania unategemea na utaendelea kutegemea kilimo na mifugo, Watanzania wanaweza kuyaendesha maisha yao barabara bila ya kutegemea misaada kutoka nje kwa matumizi bora ya ardhi hiyo. Ardhi ni ufunguo wa maisha ya binadamu kwa hiyo Watanzania wote waitumie ardhi kama ni raslimali yao kwa maendeleo ya baadaye. Kwa kuwa Ardhi ni mali ya Taifa, Serikali ni lazima iangalie kuwa ardhi inatumiwa kwa faida ya Taifa zima na wala isitumiwe kwa faida ya mtu binafsi au kwa watu wachache tu.


(b) Watu: Kuiwezesha siasa ya kujitegemea itekelezwe vizuri,wananchi ni budi wajengwe moyo na shauku ya kujitegemea.Wajitegemee katika kuwa na chakula cha kutosha, mavazi yakufaa na mahali pazuri pa malazi.Katika nchi yetu kaziiwe ni kitu cha kujivunia. Bali uvivu, ulevi na uzururajiuwe ni jambo la aibu kwa kila mwananchi. Katika upande wa ulinzi wa Taifa, wananchi wawe macho na vibaraka waliomo nchini ambao wanaweza kutumiwa na maadui wa nje wenye nia mbaya ya kuliangamiza Taifa hili na wawe tayari kulilinda Taifa inapolazimika kufanya hivyo.

(c) Siasa Safi: Msingi wa siasa ya kujitegemea lazima uambatane na siasa ya Ujamaa ya TANU. Ili kuzuia unyonyaji ni lazima kilamtu afanye kazi na aishi kwa jasho lake yeye mwenyewe. Na ili kuleta usawa wa kugawana mapato ya nchi ni lazima kila mtu atimize wajibu wake kwa kufanya kazi kwa bidii zake zote. Asiweko mtu wa kwenda kwa ndugu yake na kukaa kwa muda mrefu bila kufanya kazi kwa sababu atakuwa anamnyonya yule ndugu yake.


Wednesday, 14 December 2016

Sunday, 20 March 2016

Hulk Hogan awarded $115m in Gawker sex tape case

A Florida jury has awarded Hulk Hogan $115m (£79m) after the gossip news website Gawker published a sex tape of the retired professional wrestler

Mr Hogan's legal team argued the New York-based website violated his privacy and the video was not newsworthy.

The case, which pitted freedom of the press against a celebrity's right to privacy, has been closely watched.

The video was posted in 2012 after Mr Hogan was secretly recorded having sex with his friend's wife.

Lawyers for Gawker argued that although jurors might find the website's actions distasteful, the concept of freedom of the press was more important to uphold.

Mr Hogan's lawyers said Gawker did not contact him or the woman in the video before the video was published.

"This is not only his victory today, but also anyone else who's been victimised by tabloid journalism," Hogan lawyer David Houston said outside the courtroom.

Gawker, known for its acerbic tone and aggressive coverage of celebrities, maintained that Mr Hogan's private life was newsworthy because he made it part of his public persona.

"He has consistently chosen to put his private life out there, for public consumption," Gawker's lawyer Michael Sullivan said during the trial. However, Hogan lawyer Kenneth Turkel said during the trial that Gawker typified the often anything-goes world of internet publishing.

The verdict could lead to more caution among Internet news websites, which frequently have less editorial oversight than traditional media outlets.

Gawker's founder Nick Denton and journalist AJ Daulerio were held liable in the lawsuit.

Mr Denton has said he will appeal against the verdict, arguing that important evidence was not heard by the court.

Mr Hogan, whose given name is Terry Bollea, said the release of the sex tape hurt his career.

He was one of the most popular professional wrestlers of the 1980s and 1990s and later starred in his own reality television show with his family.

In recent years, Mr Hogan's personal problems have conflicted with his one-time child-friendly persona.

His longtime employer World Wrestling Entertainment cut ties with Mr Hogan in July after he was recorded using racial slurs.